Diamond ajikuta kwenye skendo ya kuiba wimbo wa msanii Alikiba

Diamond ajikuta kwenye skendo ya kuiba wimbo wa msanii Alikiba
Kwa mara nyingine tena msanii Diamond amedaiwa kuiba mdundo na melody ya ngoma ya msanii mwingine katika wimbo wake mpya wa Yatapita.
This time, soil has been thrown from the camp of his main opponent, Alikiba.
Vanilla, a recording artist who was signed to Alikibaโs Kings Music label last year, claims that Diamond copied the beat and melody of a song he released the previous year in order to gain the labelโs attention.
Through his instagram stories, Vanilla said that his Chizi dance, which has been popular on social media for a while, is the one that Diamond Platnumz used in his song โYatapita,โ which was released at the end of last week.
โSio mbaya, lakini kunakili beat na melody kunaonyesha jinsi unavyomkubali na kumpenda kaka wa Asake, asante,โ aliandika msanii huyo huku akiwataka mashabiki wake kuendelea kucheza wimbo wake wa Chizi kwa majivuno.
Hii si mara ya kwanza kwa Diamond kutuhumiwa kuiba sehemu za nyimbo za wasanii wenzake, kwani miaka michache iliyopita alituhumiwa kuiba mdundo wa wimbo wa Such Kinda Love wa Otile Brown akimshirikisha Jovial.
A song by a Nigerian musician named Asake was allegedly stolen by the artist last year, along with his hairstyle. As a result, many Swahili people gave the artist the jazzy moniker โAsake wa Tandale.โ