Mgunda tuko tayari, wawili kuikosa Mbeya City

Mgunda tuko tayari: Juma Mgunda (Kocha Msaidizi wa Klabu ya Simba Spots Club) amesema kuwa maandalizi ya mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Mbeya City utakaopigwa leo saa 1:00 usiku kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, yamekamilika.

According to Mgunda, all of the players have safely arrived in Dar es Salaam from Dubai, where they participated in an eight-day training, and are in fine shape to compete for three points.
Mgunda has said that they will enter the game with only one goal to ensure that they keep three points at home. (Mgunda tuko tayari)
โThe league is difficult especially when this season is on the brink, so we will enter the game taking all precautions to achieve our goal.
โWe respect Mbeya City, they are a good team but we are ready to fight for three points,โ said Mgunda.

Mgunda tuko tayari, wawili kuikosa Mbeya City
Katika mchezo huo Simba itaendelea kuzikosa huduma ya Moses Phiri na Peter Banda ambao wamerejea mazoezini lakini hawana utimamu wa asilimia 100.
At the same time, Simba SC is scheduled to use todayโs game against Mbeya City to introduce the newly registered players through a small window, to its fans who will show up at Benjamin Mkapa Stadium.
The players are Striker Jean Baleke from DR Congo, Midfielder Ismael Sawadogo from Burkina Faso and Striker Mohamed Mussa from Tanzania.
Na huu ndio msimamo wa ligi nbc 2022/23 Mpaka sasa

Je, Simba SCwanatotoka leo kwa mkapa????????!!!!!!

Note: Game hiyo itakuwa LIVE pale Benjamin Mkapa Stadium. (LUPASO)
WAFUNGAJI Wanaoongoza kwa Ufungaji Ligi Kuu Tanzania| NBC Premier League 2022/2023
VIINGILIO Simba vs Mbeya City January 18 2023